Mbunge wa Jimbo la Kitope Balozi Seiof Ali Iddi akibadilishana mawazo na Uongozi wa Kamati ya Skuli ya Sekondari ya Fujoni mara baada ya kukaguwa majengo ya Maabara na Maktaba na kukabidhi mbao kwa ajili ya uwezekaji majengo hayo.
Balozi Seif akimkabidhi Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Sekondari ya Fujoni kulia yake Maalim Mabrouk Ishaq Daima Mbao pamoja na mitwiko yake kwa ajili ya uwezekaji majengo mapya ya Maktaba na Maabara ya Skuli hiyo.
Balozi Seif akikabidhi Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Fujoni Maalim Mabrouk Ishaq Daima fedha za fundi wa uwezekaji wa mapaa ya majengo ya Maabara na Maktaba ya Skuli hiyo.
0 Comments