YANGA SC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Vodacom kwa kuifunga Polisi Morogoro mabao 4-1 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar, licha ya kuwa imesaliwa na mechi kadhaa kumaliza msimu wa 2014/2015. Wafungaji wa mabao ya Yanga leo ni Amiss Tambwe aliyefunga hat trick na Simon Msuva.
KIKOSI CHA YANGA: Dida, Abdul, Joshua, Twite, Yondani, Juma, Msuva, Niyonzima, Tambwe, Ngassa, Sherman.
KIKOSI CHA POLISI MORO: Abdul, Teru, Mganga, Abel, Kambole, Selemani, Bantu, Mkangu, Bahanuzi, Kassim, Ambrose.
0 Comments