Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi Sista Flosy Sequeire, Mkuu wa
Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Saint Francis ya Mbeya tuzo maalum ya
kutambua ufalu mzuri wa wanafunzi wa shule hiyo wakati alipofungua
maadhimisho ya wiki ya Elimu kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma
Mei 11, 2015. Wemgne kutoka kushoto ni Waziri wa Elimu na Mafunzi ya
Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa, Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri
Mkuu, Tawala za Mikoa na Seriklai za Mitaa, Kassim Majaliwa, Mkuu wa
mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa na Mbunge wa Viti Maalum, Margareth Sitta.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi pikipiki Mratibu wa Elimu wa Kata
ya Ibiwhwa wilayani Bahi, Jacob Mwakalambo ikiwa ni chombo cha
kumwezesha kutekeleza majukumu yake katika maadhimisho ya wki ya elimu
wenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma leo, Kulia ni Naibu
waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za
Mitaa, Kassim Majaliwa.
0 Comments