Katibu mtendaji wa Rick Plan co.Ltd, Sebu Panya akizungumza kuhusiana na mashindano ya wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika katika ukumbi wa Kili Home Resort mkoa wa Moshi leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa Rick Plan co.Ltd, Jaquline Chuwa na Mkuu wa itifaki wa Rick Plan co.Ltd, Angeris Faber. |
0 Comments