Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro
Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort
mkoa wa Moshi wakiwakipewa maelekezezo na mwalimu  Omary Bokilo leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya warembo watakawo wania taji la Kilimanjaro
Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika ukumbi wa Kili Home Resort
mkoa wa Moshi wakiwa katika picha ya pamoja leo katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.

 Katibu mtendaji wa Rick Plan co.Ltd, Sebu Panya akizungumza  kuhusiana na mashindano ya   wania taji la Kilimanjaro Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika katika ukumbi wa Kili Home Resort
mkoa wa Moshi leo 
 katika hoteli ya Colosseum jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa Rick Plan co.Ltd, Jaquline Chuwa na Mkuu wa itifaki  wa Rick Plan co.Ltd, Angeris Faber.

Mkurugenzi wa Rick Plan co.Ltd, Jaquline Chuwa akizungumza na baadhi ya waandishi wa habari leo  kuhusiana na mashindano ya   wania taji la Kilimanjaro
Ambassador litakalofanyika Julai 24 katika katika ukumbi wa Kili Home Resort
mkoa wa Moshikushoto ni 

Mkuu wa itifaki  wa Rick Plan co.Ltd, Angeris Faber. PICHA NA EMMENUEL MASSAKA,GLOBU YA JAMII.