Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue, akiweka saini kwenye Kitabu cha Wageni Ofisini kwa Balozi wa Tanzania, Uingereza, jijini London mwishoni mwa juma. |
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akiwa pamoja na Balozi wa Tanzania, Uingereza, Mhe. Balozi Peter Kallaghe, kwenye Ofisi za Ubalozi Tanzania London, Uingereza. |
0 Comments