Mkutanowa Mkubwa watatu wa  Kimataifa,  unaojadili Ufadhili wa Maendeleo (FFD3) ,umeanza leo Jumatatu[jana]  jijini Adds Ababa,Ethiopia.Ujumbe Tanzania katika mkutano huu ambaoutakafanyikakwasikutatu unaongozwa na  Waziriwa   Fedha  Mhe. Saada Mkuya  Salum (pichani) akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania , Mhe.  Jakaya Mrisho Kikwete. 
Mhe.  Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum atauhutubiamkutano huo  siku ya  Jumanne Julai 14, 2015. Kwa taarifa kamili BOFYA HAPA