Vijana wa Kislam toka jijini Antwerpen wakifungua sherehe za Eid El Fitr kwa dua maalum hapo jana.Vijana hao ambao wanapata mafunzo ya kusoma Quran walipata nafasi ya kusoma Quran kila mmoja na baadae kuzawadiwa kwa kila aliyesoma Quran vizuri.

 Kwa upande wa kina mama wakiwa makini kusikiliza Quran tukufu iliyokuwa ikisoma kwenye sherehe hizo hapo jana
 Baadhi ya wageni waalikwa kwenye sherehe ya Eid hapo jana wakiendelea kusikiliza kinachojiri
Al ustadh maarufu jijini Antwerpen Viera akiendelea kutoa taratibu za shughuli


Dada Ummy akiwa na ndugu yake wakisoma majina ya watoto walifaofanya vizuri katika masomo ya Quran
Kwa picha zaidi gonga neno habari zaidi hapo chini



 Endele chini kwa picha zaidi....scoll down for pictures




































































































 TEAM MOL
MAGANGA ONE JUNIOR