Shekh Yussuf mwenye kofia ya manjano akifungua dua ya kumrehemu mama mzazi wa Ally Mohammed Mlangi {mwenye kanzu nyeupe} hapo jana kitongojini Mol nchini Ubelgiji. |
Kisomo cha kumrehemu mama wa Ally Mlangi kikiendelea huku kila mmoja akishiriki vyema katika dua
Brother Joseph akishiriki vyema dua |
Kitezo kikifuka moshi ni ishara njema kwamba dua inaendelea vyema.Ustadhi Vierra akiendeleza dua |
Waungwana walioshiriki jana katika kisomo |
Kikosi kazi kikiendelea kuomba dua hapo jana |
Selle wa Leuven kulia na kamanda wa msitu mnene pia walishiriki vyema katika dua ya jana |
Waungwana kutoka sehemu mbalimbali wakihitimisha dua ya mwisho |
Mama Nasreen kushoto akiwa na dada Nasria wa Antwerpen wakipata dua |
Dua ikiendelea huku Queen Rahma na mama yeke mama Sarah wakiendelea kuomba dua |
Kwa upande wa kina mama nao walishiriki vyema katika dua ya kumrehemu mama wa Ally Mlangi,pichani ni mama Denzel mwenye mtandio mwekundu akiwa na mama yake Mrs Khalid |
Naam dua ikiendelea huku pichani Katibu mkuu ndugu Mohammed Mwalimu mwenye jaketi la manjano,akifuatiwa na ndugu Ally Mlangi{muhusika mkuu wa kisomo} na ustadhi Vierra |
Brother Gebo akishiriki dua ya kumrehemu mama yake mzazi na Ally aliyetangulia mbele za haki siku chache zilizopita |
Brother Zile akishiriki dua na kijana wake pembeni |
Mrs Maganga One [kushoto] akiwa na Mrs Hamza |
Mmoja wa waliofika kwenye dua akiwa makini kabisa kusikiliza mawaidha |
Queen Rahma na mama Saraha |
Shekh Vierra akitoa mawaidha kuwakumbusha wanaadamu kuhusu suala la kifo huku wengine wakionyesha kuguswa kwa namna moja au nyingine |
Waungwana wakisikiliza mawaidha kwa hisia kabisa |
Mchezaji mkongwe wa timu ya Taifa ya Tanzania Kassim Manara akipata kumbukumbu baada ya dua |
Mrs Moddy akisikiliza mawaidha yanayozunguzia kifo huku akionesha hisia zake |
Queen la Antwerpen Rahma akiwa na mama yake mama Sarah |
kutoka kushoto ni dada Ummy wa Antwerpen,Mrs Maganga One {katikati} na Mrs Hamza |
Bidada Dida akiwasili ukumbini,kamera ikamnasa namna hii |
Dida akiwa na mama yake na watoto wake |
Pichani ni mama Mansoor,Mansoor na mama Tillah |
Masha'Allah watoto wa Hamza nao walishiriki kwenye dua |
Dada Khasser[Mrs Yussuf] kushoto akiwa na dada Sharon |
Kamanda wa msitu mnene akibadilishana mawazo na dada yetu Khasser |
Mama Mansoor akiwa na mtoto wake Msham mara baada ya kisomo |
Mama Tillah pia alikuwepo |
Taswira endelevu |
Kitengo cha madikodiko kilidhibitiwa na Mbabe huyuu |
Team Mol ikiwa makini kabisa kuhakikisha kila mmoja anapata huduma stahiki na kwa wakati |
Sadak ikiendelea |
Sadaka ikitolewa kwa upande wa kina mama |
Mrs Dullah akipata sadak |
Shekh Yusuf akitoa huduma ya Sadak |
Mama Kauthar akipata sadak hapo jana |
Kikosi kazi kikiwa tayari kuwajibika |
Ndugu zetu kutoka Antwerpen nao walishiriki vyema katika shughuli nzima ya dua
Waungwana wakipata Sadaka |
Brother Nyambi pia alikuwepo kwenye kisomo cha jana |
Dida akiwa na watoto wake katika kisomo cha jana |
Ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali walifika Mol kujumuika nasi katika kisomo
Ndugu zetu kutoka sehemu mbalimbali walifika Mol kujumuika nasi katika kisomo
Kila mmoja alijaaliwa kupata sadaka
Brother Zile kushoto na kijana wake na ndugu yetu pia wakipata sadaka mara baada ya dua |
Ndugu yetu na mwanawe wakipata kumbukumbu |
Ndugu zetu wakiendelea kupata sadaka |
Kada mkuu wa Ukawa nchini Ubelgiji Mussa Mudrik akipata sadaka mara baada ya kisomo |
Sele rasta mchezaji bora wa mwaka kutoka Liege nae alishiriki dua ya kumrehemu mama wa Ally Mohammed Mlangi iliyofanyika Mol Ubelgiji |
Wakati wa sadak ulipowadia kila mmoja wetu alionekana hiviii |
Katika hali ya ushirikiano mwema kwenye shida na raha,hapa unaweza kuwaona ndugu hawa wawili wakipata picha ya pamoja baada ya dua. |
Mara tu baada ya shughuli ya kisomo kuisha,ndugu Ally Mlangi kulia akionyesha hali ya kumshukuru Allah kwamba dua ilikwenda salama kabisaa. |
Two Brothers in hood |
Muda mchache shughuli ya kisomo ilipokwisha kila mmoja alipata muda wa kusalimiana na mwingine,pichani Kamanda wa msitu mnene akibadilishana mawazo na dada zake wa Mol |
1 Comments