IMGS1722
Spika wa Bunge, Job Ndugai akiongozwa na Mpambe wa Bunge kuingia kwenye ukumbi wa Bunge mjini Dodoma  kuongoza kikao cha kwanza cha  mkutano wa tatu wa Bunge   Aprili 19, 2016.

IMGS1834
  Spika wa Bunge, Job Ndugai   (kulia) akimwapisha  Ritta Kabati kuwa mbunge kwenye Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma  Aprili 19, 2016.

IMGS1868
Spika wa Bunge, Job Ndugai akimwapisha Waziri Kiongozi wa Zanzibar Mstaafu,  Shamsi Vuai Nahodha kuwa Mbunge kwenye Ukumbi wa Bunge  Mjini Dodoma Aprili 10, 2016
IMGS1930
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira na Muungano, January Makamba, bungeni mjini Dodoma Aprili 19, 2016.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).