Baba na mama Birgit wakiwa na mtoto wao Birgit ambaye jana ametimiza mwaka 1 toka kuzaliwa kwake.Wazazi wa mtoto huyo walitoa sadaka ya chakula na BBQ kwa watu wote waliowaalika.Mungu amjaalie mtoto Birgit akuwa vyema.


Mchezaji wa zamani wa kimataifa wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars,Kassim Manara akiwa na mjukuu wake katika sherehe ya kuzaliwa kwa Birgit ambaye ametimiza mwaka 1.

Waungwana wakiendelea kupata vinywaji katika sherehe ya mtoto Birgit

Vijana kutoka kila mahala walikuwepo katika sherehe za kuzaliwa kwa Birgit

Waungwana wkiendelea kupata maakuli

Kwa upande wa kina mama nao wakipata maakuli

Watu katika ubora wao



Rama na wenzake 

Brother Joseph akihakikisha BBQ iko vizuri

Maganga One Blogger akiwa na vijana wa Oostende na Shekh Yusuf wa Mol 


Shekh Yusuf wa Mol akiwa na vijana wa Antwerpen

Blogger Maganga One akimpongeza Joseph kwa kufanikisha shughuli ya mtoto wake salama.