Gwiji wa ngoma za utamaduni Mfalme Costa Siboka akitambulisha wimbo wake mpya wa Kisukuma " Onene nekazi" (Mimi na kazi) kwa maelfu ya wakazi wa Misasi nje kidogo ya Jiji la Mwanza waliojitokeza katika Promosheni ya Vuna zawadi ya Baiskeli na Guta kwenye shangwe za Ngoma ya Balimi msimu wa mavuno kanda ya ziwa. Jumamosi hii atapagawisha Wakazi wa Nyehunge Mnadani Sengerema. Siboka ameambatana na kundi lake wakitokea  jijini Dar es Salaam. 

 Mfalme Costa Siboka akitambulisha wimbo wake mpya wa Kisukuma " Onene nekazi" (Mimi na kazi) 

Mfalme Costa Siboka jukwaani na kundi lake

Mfalme Costa Siboka akitambulisha wimbo wake mpya wa Kisukuma " Onene nekazi" (Mimi na kazi)