Mvua kubwa imesababisha vifo vya takriban watu 70 nchini China na kuwalazimu mamia ya wengine kuhama makwao.
Maelfu ya nyumba nzo zimeporomoka. Viwango vya maji katika bwagwa kubwa zaidi nchini humo vimepanda na kufikia mita 164.
Mikoa ya Hubei, Liaoning, Hebei na Henan yote imeathirika vibaya na hali hiyo mbaya ya hewa.