Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na
Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM
Wilayani
Ngara Katika Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa
Engubenako
Wilayani Ngara.
Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na
Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM
Wilayani
Ngara Katika Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa
Engubenako
Wilayani Ngara.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu
Shaka (MNEC) akiwasili katika
Kijiji Cha BENACO Wilayani Ngara, Shaka yupo kwa ziara ya
kuimarisha uhai
wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya
CCM 2015_2020
Shaka (MNEC) akiwasili katika
Kijiji Cha BENACO Wilayani Ngara, Shaka yupo kwa ziara ya
kuimarisha uhai
wa chama, kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya
CCM 2015_2020
Mwenyekiti wa uvccm Mkoa wa
Kagera Bw. Yahya Kateme akizungumza
kumkaribisha Ndg: Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka
Kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet
ya CCM Wilayani Ngara
Kagera Bw. Yahya Kateme akizungumza
kumkaribisha Ndg: Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka
Kuzungumza na Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet
ya CCM Wilayani Ngara
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na
Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM
Wilayani
Ngara Katika Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa
Engubenako
Wilayani Ngara
Shaka Hamdu Shaka (MNEC)akizungumza na
Wajumbe wa Baraza la UVCCM pamoja na Wajumbe wa Sekretariet ya CCM
Wilayani
Ngara Katika Kikao Cha Ndani Kilicho Fanyika katika Ukumbi wa
Engubenako
Wilayani Ngara
:Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akizindua Mradi wa
kikundi cha Vijana wajasiliamali cha Ufugaji wa Nyuki na Shamba la
Upandaji
wa Miti katika kijiji cha Nyaruku Wilayani Ngara.
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akizindua Mradi wa
kikundi cha Vijana wajasiliamali cha Ufugaji wa Nyuki na Shamba la
Upandaji
wa Miti katika kijiji cha Nyaruku Wilayani Ngara.
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua Mradi
wa Usambazaji wa Umeme Vijijini katika kijiji cha Nyankenda ikiwa ni
Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015_2020
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua Mradi
wa Usambazaji wa Umeme Vijijini katika kijiji cha Nyankenda ikiwa ni
Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2015_2020
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua
Ukamilishaji wa Agizo la Utengenezaji wa Madawati katika
Shule ya Msingi
Rulenge Jinsi lilivyo Kamilika kama alivyotoa agizo Mhe:Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akikagua
Ukamilishaji wa Agizo la Utengenezaji wa Madawati katika
Shule ya Msingi
Rulenge Jinsi lilivyo Kamilika kama alivyotoa agizo Mhe:Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli
Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akimkabidhi
mmoja kati ya Wazee 25 waliopokea Vyeti Vya Matibabu ya bure kwa wazee
katika kijiji cha kijiji cha Mumiramila Wilayani Ngara.
Shaka Hamdu Shaka (MNEC) akimkabidhi
mmoja kati ya Wazee 25 waliopokea Vyeti Vya Matibabu ya bure kwa wazee
katika kijiji cha kijiji cha Mumiramila Wilayani Ngara.
Mwandishi wa Gazeti la Uhuru
Bw.Antari Sangali pamoja na wazee wakijiji
cha Mumilamila Wilayani Ngara wakimsikiliza kwa makini Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)alipo kua akigawa Vyeti kwaajili ya
Matibabu ya Bure kwa wazee.
Bw.Antari Sangali pamoja na wazee wakijiji
cha Mumilamila Wilayani Ngara wakimsikiliza kwa makini Kaimu Katibu Mkuu
UVCCM Taifa Shaka Hamdu Shaka (MNEC)alipo kua akigawa Vyeti kwaajili ya
Matibabu ya Bure kwa wazee.
:Kaimu Katibu Mkuu UVCCM Taifa Shaka
Hamdu Shaka (MNEC) alipo zindua
Mradi wa Shamba la Uvccm wilayani Ngara kwa ajili ya Shughuli Mbali mbali
za kilimo kwa Vijana Wilayani humo ikiwa ni Utekelezaji wa agizo lake
alilotoa kwa Makatibu wote kuandaa miradi Mbali mbali ili kukwamua Vijana
kiuchumi kama kauli Mbiu yake isemayo'' SIASA NA UCHUMI''(picha na
woinde Shizza.
Hamdu Shaka (MNEC) alipo zindua
Mradi wa Shamba la Uvccm wilayani Ngara kwa ajili ya Shughuli Mbali mbali
za kilimo kwa Vijana Wilayani humo ikiwa ni Utekelezaji wa agizo lake
alilotoa kwa Makatibu wote kuandaa miradi Mbali mbali ili kukwamua Vijana
kiuchumi kama kauli Mbiu yake isemayo'' SIASA NA UCHUMI''(picha na
woinde Shizza.
0 Comments