Rafsanjani ambaye alikuwa rais kati ya mwaka 1989 na 1997 aliaga dunia kutoka na mshutuko wa moyo siku ya Jumapili akiwa na umri wa maika 82.
Alikuwa mmoja wa watu wenye ushawishi mkubwa tangu yafanyike mapinduzi ya mwaka 1979.
Haki miliki ya pichaEPAImage captionRaia wakiwa na picha za Akbar Hashemi Rafsanjani mjini Tehran
Televisheni ilionyesha umati mkubwa wa waombolezaji katika mitaa inayozunguka chuo kikuu cha Tehran ambapo maombi yanafanyika.
Haki miliki ya pichaREUTERSHaki miliki ya pichaAFPImage captionRafsanjani alikuwa muungaji mkono wa rais wa sasa wa Iran Hassan RouhaniHaki miliki ya pichaAFPImage captionRaia wa Iran wakikusanyika kando ya gari lililokuwa limebeba jeneza la Rafsanjani mjini Tehran.
0 Comments