Shekh Hassan ambaye ni mmoja wa mashekh wetu wakubwa nchini Ubelgiji akifungua rasmi dua ya kuwarehemu wazee wa wenzetu waliotangulia mbele ya haki.Shughuli hii imefanyika jijini Antwerpen. |
Al-Ustadh Habib nae ni mmoja wa mashekh wetu wakubwa tunaowategemea nchini Ubelgiji,akitoa mawaidha na kutukumbusha umuhimu wa kujua maana ya umauti. |
Waungwana toka sehemu mbalimbali walishiriki kwenye duaa za kuwarehemu wazee wa wenzetu |
Na kwa upande wa kina dada na mama zetu nao walishiriki vyema katika dua ya leo. |
Na kwa upande wa kina dada na mama zetu nao walishiriki vyema katika dua ya leo. |
Wakati mawaidha ya kutukumbusha umuhimu wa kujua umauti kina mama na dada zetu walikuwa tulii wakisikiliza kwa umakini zaidi |
Na kwa upande wa kina baba nao kama kawaida utulivu ulishika nafasi yake. |
Mawaidha yakiendelea |
0 Comments