Shekh Hassan ambaye ni mmoja wa mashekh wetu wakubwa nchini Ubelgiji akifungua rasmi dua ya kuwarehemu wazee wa wenzetu waliotangulia mbele ya haki.Shughuli hii imefanyika jijini Antwerpen.

Ally Qwido wa katikati mwenye kofia ya rangi ya udongo na tasbih mkononi akishiriki kumuombea dua marehemu mzee wake aliyetangulia mbele ya haki siku za hivi karibuni.Dua hii makhususi iliandaliwa kwa ajili ya Ally Qwido na Stam

Al-Ustadh Habib nae ni mmoja wa mashekh wetu wakubwa tunaowategemea nchini Ubelgiji,akitoa mawaidha na kutukumbusha umuhimu wa kujua maana ya umauti.

Waungwana toka sehemu mbalimbali walishiriki kwenye duaa za kuwarehemu wazee wa wenzetu

Na kwa upande wa kina dada na mama zetu nao walishiriki vyema katika dua ya leo.

Na kwa upande wa kina dada na mama zetu nao walishiriki vyema katika dua ya leo.

Wakati mawaidha ya kutukumbusha umuhimu wa kujua umauti kina mama na dada zetu walikuwa tulii wakisikiliza kwa umakini zaidi

Na kwa upande wa kina baba nao kama kawaida utulivu ulishika nafasi yake.

Mawaidha yakiendelea









Ustadhi Stam mmoja wa wahusika wakuu wa shughuli hii ya kuwaombea wazee waliotangulia mbele za haki..Stam nae alimpoteza mzee wake siku chache zilizopita.Kwa niaba ya familia zao whusika waliwashukuru kila mmoja aliyeshiriki kwenye kisomo.
{Picha zote na maelezo toka Maganga One}