| Jana ilikuwa siku ya uabatizo kwa kijana Julius Waweru na pia ilikuwa siku yake ya kuzaliwa.Pichani kijana Julius akiwa na keki yake kubwa na tabasamu usoni kuashiria furaha yake. |
| Julius akiwa na mama yake mzazi muda mfupi kabla ya kukata keki{Picha zote na Maganga One Blog} |
| Keki ya Julius ikiletwa kwenye meza kuu ili ikatwe na kuliwa kama sadaka kwa waliohudhuria tafrija hiyo kwa siku ya jana. |
| Kijana Julius akipata picha ya pamoja na mama yake na bibi yake |
| Raha na Furaha zilipochukua nafasi |
| Julius Waweru akijiandaa kuikata keki |
| Julius jana alipokea zawadi kemkem na hapa akimkunbatia mmoja wa kijana mwenzake akiyempa zawadi. |
| Julius akipongezwa kwa kupata ubatizo wake na siku yake ya kuzaliwa hapo jana |
| Wageni mbalimbali walifika katika kumpongeza kijana Julius |
| Julius akipata picha ya pamoja na baadhi ya watoto wenzake wliokuja kumpongeza. {Picha zote na Maganga One Blog} |
0 Comments