MBUNGE
WA LUSHOTO ATEMBELEA BARABARA YA MOMBO-SONI KUJIONEA ATHARI ZA
BARABARA

Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akikagua athari za mafuriko kwenye
barabara ya Soni hadi Mombo ambapo imefungwa kutokana na vifusi,mawe
kudondoka barabarani na hivyo kusababisha adha hiyo



Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akiangalia athari za barabara ya
Mombo hadi Soni ambayo imefungwa kutokana na kushuka kwa mawe makubwa na
vifusi


Mbunge wa Jimbo la Lushoto
(CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akitazama maeneo
yaliyoathirika


Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akipita kwenye baadhio ya maeneo
yaliyoathirika na udongo kushuka na kusababisha adha kwa
wasafiri


Mbunge wa Jimbo la Lushoto
(CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia akisistiza jambo kwa
wananchi


Mbunge wa Jimbo la Lushoto
(CCM) Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia kulia akisalimiana na
wananchi


Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia katikati akiwa kwenye picha na
wapiga kura wake mara baada ya kukutana nao akiwa njiani kuelekea kwenye
kukagua athari za mafuriko


Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia kulia akitazama eneo ambalo
limetoka jiwe kubwa ambalo lilishuka kwenye barabara ya Mombo- Soni na
kusababisha kufungwa


Mbunge wa Jimbo la Lushoto (CCM)
Shabani Shekilindi alimaarufu Bosnia kulia akiteta jambo na wataalamu
wanaosimamia zoezi la kuondosha kifusi na mawe


Creda likiendelea na kazi yake kama
kawaida
Baadhi
ya wananchi wakipita kwenye barabara hiyo mara baada ya greda kuondoa
kifusi kwenye baadhi ya maeneo yaliyokuwa wameangukiwa na
vifusi



Katibu wa CCM wilaya ya Lushoto,Ramadhani
Mahanyu akizungumzia suala hilo
Mwenyekiti
wa Halmashauri ya Bumbuli akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana
na kadhia ambayo wamekumbana nayo watumiaji wa barabara ya Mombo-Soni
kutokana na mawe na vifusi kudondoka




Mbunge
wa Jimbo la Lushoto (CCM) Shabani Shekilindi  alimaarufu Bosnia
akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na athari za barabara ya
Mombo hadi Soni kuharibika 
Habari kwa Hisani ya Blog ya Kijamii ya Tanga Raha