Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk. Edmund Mndolwa akisalimia baadhi wa wana CCM waliofurika katika ukumbi wa Tawi la CCM Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar es Salaam, ambao walifika kumlaki katika mapokezi yaliyoandaliwa na Jumuiya hiyo mkoa wa Dar es Salaam, jana.


 Gari la Dk. Mndolwa likiwasili lango Kuu la Ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam wakati wa mapokezi hayo

 Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar  Abdallah Haj Haidar akimpokea Dk Mndolwa kwenye Ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam

 Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisalimiana na  Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo

 Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisalimiana na  Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Saad Kusilawe, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo

 Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisalimiana na  Katibu wa Jumuiya hiyo mkoa wa Dar es Salaam Lugano Mwafongo, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo

 Mwenyekiti wa Taifa wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania Dk Edmund Mndolwa, akisilindikizwa na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba kwenda kusaini vitabu wa wageni na kuzungumza na uongozi, alipowasili Ofisi ya CCM mkoa huo

 Dk. Mndolwa akisaini kitabu wa wageni katika Ofisi ya Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam alipowasili. Kulia ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi mkoa huo, Frank Kalokola Kamngisha

 Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Abdallah Haj Haidar akisaini kitabu cha wageni, huku Dk. Mndolwa akiendelea kufanya hivyo pia.

 Abdallah Haj Haidar akisalimia

 Mama Patricia Rukia Mndolwa akisalimia

 Katibu wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Bara Burhan Rutta akisalimia

 Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Kusilawe akisalimia

 Kalokola akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, amkaribishe Dk. Mndolwa kuzungumza na Uongozi

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba alizungumza kabla ya kumkaribisha Dk Mndolwa kuzungumza

 Kate Kamba akimkaribisha Dk Mndolwa kuzungumza na uongozi

 Dk. Mndolwa akizungumza na Uongozi

 Mwafongo na Katibu wa CCM Kata ya Ilala Habib Nasser ambaye pia ni Mjumbe wa Baraza Kuu Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, wakitoka nje kumsubiri Dk Mndolwa kutoka nje tayari kwa safari ya kwenye kwenye eneo kuu la mapokezi ukumbi wa CCM Mwinjuma Mwananyamala

 Gari lilobeba Dk Mndolwa likiwasili kwenye Viwanja vya Ofisi ya Tawi la CCM Mwinjuma 

 Kijana wa CCM akimvisha Skafu Dk. Mndolwa baada ya kuwasili CCM Mwinjuma

 Dk. Mndolwa akipokea kwa ukakamavu saluti ya kijana wa CCM baada ya kuvishwa skafu

 Dk Mndolwa akiongozana na baadhi ya viongozi kwenda eneo la tukio

 Dk Mndolwa akisalimia baadhi ya wana CCM wakati akienda ukumbini

 Dk Mndolwa akisalimia baadhi ya viongozi wakati akienda ukumbini  

 TOT wakitumbuiza kumlaki ukumbini Dk. Mndolwa

 Dk. Mndolwa akienda meza kuu

 Dk. Mndolwa na Makamu wake- zanzibar wakiwa tayari meza kuu

 Viongozi wa meza kuu wakiungana na Dk Mndolwa kushangilia baada ya kuwasili eneo hilo

 Mmoja wa viongozi katika Baraza la Wazee wa jumuiya ya Wazazi Mzee Mkali akisalimia

 Katibu wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Mwafongo akifanya utambulisho wa viongozi ndazi ya mkoa

 Viongozi ndazi ya mkoa wakisalimia baada ya kutambulishwa 

 Baadhi ya viongozi waliohudhuria mapokezi hayo wakiwa ukumbini

 Naibu Katibu Mkuu wa Jumuia ya wazazi Tanzania Ndugu Rutta akitambulisha viongozi ngazi ya taifa  

 Katibu Mkuu wa Jumuia ya Wazazi tanzania Seif Shaban Mohammed akifafanua maana na umuhimu wa neno 'Mapinduzi'  baada ya kutambulishwa  

 Ndugu Mwafongo akiendeleza ratiba

 Mwenyekiti wa CCM Temeke ndugu Almish akizungumza baada ya kutambulishwa 

 Ndugu Kalokola akizungumza kumtambulisha Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Ndugu Haj

 Kakamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Tanzania-Zanzibar Ndugu Hajj akizungumza

 Shabiki wa CCM akimuombea maisha marefu na uongozi bora Dk. Mndolwa tukio ambalo lilikuwa la ghafla

 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Kate Sylivia Magdalena Kamba akizungumza kabla ya kumkaribisha Dk. Mndolwa kuzungumza na hadhara 

 Omar Kimbau aliyewahi kuhamia CUF akitangaza kurudi CCM mbele ya Dk. Mndolwa

 Dk. Mndolwa akimpongeza Kimbau kwa kuzinduka na kurejea CCM

 Dk. Mndolwa akihutubia kweye mapokezi hayo




CHAKULA CHA JIONI SERENA HOTEL
 Katibu wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Mwafongo akiwakaribisha Dk. Mndolwa na Mkewe walipowasili hoteli ya Serena kwa ajili ya chakula cha jioni

 Mwafongo akiwaongoza kwenda eneo la kuketi 

 Dk. Mndolwa akimsalimia Mwenyekiti  wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Ndugu Kalokola

 Dk Mndolwa akimsalimia  Ndugu Kizigha

 Makamu Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania- Zanzibar Ndugu Hajj akimsalimia Mama Mndolwa

 Dk Mndolwa akizungumza jambo wakati wakisubiri muda wa chakula

 Ndugu Mwafongo akiwa amesimama kuwakaribisha rasmi waalikwa wote 

 Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Kalokola akizungumza maneno ya ukaribisho kwenye chakula hicho cha jioni

 Dk Mndolwa akiongozana na Ndugu Hajj kuchukua chakula

 Angela Kizigha akimsaidia Dk. Mndolwa kubeba chakula

 Mweneyekiti wa CCM Kinondoni akichukua chakula

 Viongozi mbalimbali wakichukua chakula

 Ndugu Mwafongo akiongoka na chakula chake kwenda sehemu ya kuketi

 Ndugu Hajj akichukua chakula 

 Baadhi ya waandaaji wa nyama choma hotei ya Serena

 Waalikwa wakila chakula 

 Dk Mndolwa na mkewe wakipata chakula na waalikwa wengine  



 Dk Mndolwa akitoa nasaha zake baada ya chakula   

Kisha Dk. Mndolwa akapozi kwa picha ya kumbukumbu na viongozi mbalimbali aliopata nao chakula hicho cha jioni. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO