Kanali Joseph Bakari na Luteni Kanali Rafael pamoja na wenyeji wao wakiongozwa kuelekea kwenye ukaguzi wa viwanja vya mpira vitakavyotumika kwenye michezo ya majeshi duniani mwaka 2019 nchini China |
Vikao vya majadiliano kuhusu tathmini na ukaguzi wa viwanja vikiendelea |
Kanali Bakari akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari{hawapo pichani} |
Pichani Kanali Bakari akisaini hati ya makubaliano na Kanali Vicenti kutoka China kuhusu ya sheria za michezo hiyo. |
Pichani Kanali Bakari akisikiliza na kutazama picha yenye mfano wa moja ya viwanja vitakavyotumika kwenye michezo hiyo |
0 Comments