Wakiwa na nyuso za furaha Paris na Milan wamesheherekea miaka 7 toka kuzaliwa kwao..Kutokana na ugonjwa wa Corona ambao umeshika kasi duniani sherehe za kuzaliwa kwao zilifanyika nyumbani kwao wakiwa familia tu bila kualika jamaa na marafiki ili kutii sheria na agizo la serikali .


Paris na pacha wake Milan wakiwa katika pozi 

Maganga One blog inawapongeza mapacha hao wanaoishi nchini Uholanzi kwa kutimiza miaka 7..Insh'Allah Mungu awape umri mrefu na afya njema maishani..hongera kwa wazazi wa watoto kwa malezi bora.
Happy birthday Paris & Milan