Shamsia Mtamba kupitia CUF, ametangazwa ameshinda jimbo la Mtwara Vijijini baada ya kuibuka kidedea kwa kura 26,262, dhidi ya mpinzani wake Hawa Ghasia CCM amepata kura 18,505. Shamsia alikuwa mbunge wa viti maalum CUF kabla ya kujitosa kwenye jimbo.