RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akilihutubia Baraza la Eid Fitry katika ukumbi wa Polisi Ziwani Wilaya Mjini Unguja leo 10-4-2024.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea Salamu ya Heshima katika Sherehe za Baraza la Eid Fitry, katika viwanja vya Chuo cha Polisi Ziwani Wilaya ya Mjini Unguja leo 10-4-2024.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi wa meza kuu na Wananchi katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) baada ya kumalizika kwa Baraza la Eid Fitry lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Polisi Ziwani Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 10-4-2024.
(Picha na Ikulu)