Jeshi la Ulinzi la Israeli (IDF) linasema wanajeshi wake wawili wameuawa kusini mwa Lebanon.
Katika taarifa iliyosambazwa kwenye Telegram, IDF imemtaja mmoja wa wanajeshi hao kuwa ni Sajenti Mkuu Maher Khatar, 38, kutoka Majdal Shams.
Inasema mwanajeshi huyo kutoka Kikosi cha Uhandisi wa Makabiliano aliuawa wakati wa mapigano kusini mwa Lebanon.

0 Comments