Aliyekuwa makamu wa rais nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Jean Pierr Bemba, ametangaza kuwa atawania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa mwezi Novemba mwaka huu.
Bemba anazuiliwa na mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC, kuhusiana na mashtaka ya uhalifu wa kivita.
0 Comments