Kikosi cha timu ya taifa ya Wanawake ‘Twiga Stars’ kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na timu ya Namibia wa kufuzu Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake (AWC) uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Twiga Stars imeshinda 5-2. Picha zote Francis Dande. 
Mshambuliaji wa Twiga Stars, Mwanahamisi Omari akiruka daruga la beki wa Namibia, Esther Amukwaya. 
Wachezaji wa Twiga Stars kutoka kushoto ni, Mwanahamisi Omari, Etoe Mlenzi na Pulkaria Charaji wakishangilia ushindi wa timu yao.