Mtaalam wa gesi kutoka Uingereza Michael Freeman (katikati) akipima kiwango cha gesi katika bomba za gesi ili kubaini kiwango na mkandamizo wake kwa Nyumba 57 za wafanyakazi wa Shirika la Taifa Mafuta Nchini (TPDC) inayotoka Ubungo mpaka Mikocheni Dar es Salaam jana. Pamoja naye ni mhandisi mtarajali Levina Kashushura (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya BQ Constructors, Mhandisi John Bura (kulia kwa Michael) na mtaalam wa gas Jamal Mbanga (wa pili kulia) na Mhandisi mtarajali wa TPDC Jovitha Perfect (kulia). (Na mpiga picha wetu)