Mwanvita Makamba, akiwa katika chumba alicholazwa Mhariri Mkuu Mtendaji wa Kampuni ya New Habari 2006 Ltd, Absalom Kibanda, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri wakati alipomtembelea kumjulia hali katika Hospitali ya Milpark baada ya kufikishwa katika hospitali hiyo jana usiku nchini Afrika ya Kusini.

Absalom Kibanda akiendelea kupata matibabu katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) kwenye Hospitali ya Milpark Afrika Kusini.
(Picha na Amani Tanzania)