Wachezaji wa Simba wakishangilia bao lao la kwanza lililofungwa na Ramadhani Singano 'Messi' dhidi ya Ashant United. Simba umeshinda 4-0. (Picha na Francis Dande)
 Ramadhani Singano (kushoto), Betram Mwombeki (katu) na Amis Tambwe wakishangilia bao lao la 4.