Bondia Fransic Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde naGavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point 
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand kulia akiwa amemkalisha bondia Francis Miyeyusho katika raundi ya kwanza ya mpambano wa raundi kumi na kushinda kwa K.O.