Hahha Dai. Umeamua umpa laiv Wema?!! Yule sikio la kufa anajiona mashuhuri kumbe hamna kitu. "Star"wa kuona m*oo za kila aina na size tena kwa kukopwa. Ataishia kupanga tu leo mwananyamala kesho sinza. Uliona mbali dogoo. Eti alikuwa anajiita misez tu bii hahaha. Kwanza mlikuwa kama mtu na mama ake mdogo. halooo
1 Comments