Padri wa Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza, akiongoza ibada ya maombi ya kuuaga mwili wa Marehemu, Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro. Ibada hiyo ilifanyika jana kanisani hapo.


Mzee Mkunja alifariki dunia juzi April 25,2016 katika Hospitali ya Rufaa Bugando Jijini Mwanza akikokuwa akipata matibabu. Alizaliwa Mwaka 1926 hivyo amefariki akiwa na umri wa miaka 90. Kifo chake kimetokana na tatizo la vidonda vya tumbo. Alikuwa mfanyabiashara maarufu enzi za uhai wake.

Mwili wake unasafirishwa hii leo April 27,2016 kuelekea nyumbani kwake Mpanga, Kilombero Mkoani Morogoro kwa ajili ya Mazishi. 
Tunatoa natoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki walioguswa na msiba huu, akiwemo mtoto wa Marehemu, Bi.Idda Adam.
Padri wa Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza, akiongoza ibada ya maombi ya kuuaga mwili wa Marehemu, Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro. Ibada hiyo ilifanyika jana kanisani hapo.
Padri wa Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza, akiongoza ibada ya maombi ya kuuaga mwili wa Marehemu, Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro. Ibada hiyo ilifanyika jana kanisani hapo.


Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji Jijini Mwanza wakiuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, Mzaliwa na Mkazi wa Mpanga Kilombero Mkoani Morogoro ukiagwa Jijini Mwanza.
Mbele kushoto ni Mtoto wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, akiwa pamoja na mmewe katika ibada ya kuuaga mwili wa marehemu  Jijini Mwanza.
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakiwa katika ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji wakiwa katika ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Waombolezaji wakiwa katika ibada ya kuuaga mwili wa Marehemu Mzee Pius Joseph Mkunja, katika ibada iliyofanyika jana katika Kanisa la Roman Cathoric, Parokia ya Watakatifu Wote Kiloleli Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.
Baada ya ibada, Mwili wa marehemu Mzee Mkunja ukipelekwa nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya kuusafirisha kwenda Mkoani Morogoro kwa ajili ya mazishi.
Baada ya ibada, Mwili wa marehemu Mzee Mkunja ukiwasili nyumbani kwa ajili ya maandalizi ya kuusafirisha kwenda Mkoani Morogoro kwa ajili ya mazishi.
Waombolezaji wakiwa nyumba
Waombolezaji wakiwa nyumba
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakipata chakula baada ya ibada ya kuuaga mwili wa marehemu
Ndugu, Jamaa na Marafiki wakipata chakula baada ya ibada ya kuuaga mwili wa marehemu.