Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr. Ali akiagwa na Makamu wa ili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi uwanja wa ndege wa Julius Nyerere Mjini Dar es salaam akielekea Nchini Uingereza kwa uchunguzi wa kawaida wa Kiafya.

Balozi Seif akimuaga Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar ves salaam Jijini Dar es salaam. Picha na OMPR – ZNZ.