Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi wakitia saini hati ya
makabidhiano ya jengo la Bwalo la chakula katika shule ya sekondari ya
Mwika jana wilayani Moshi,Jengo hilo
limejengwa kwa ufadhili wa Tanapa kwa kushirkiana na Halmashauri ya
wilaya ya Moshi pamoja na nguvu za wananchi ambapo jumla ya kiasi cha Sh
Mil 186,494,890 zimetumika..
Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi akimkabidhi hati ,Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro,Said Meck Sadiq baada ya saini hati ya
makabidhiano ya jengo la Bwalo la chakula katika shule ya sekondari ya
Mwika jana wilayani Moshi,Jengo hilo
limejengwa kwa ufadhili wa Tanapa kwa kushirkiana na Halmashauri ya
wilaya ya Moshi pamoja na nguvu za wananchi ambapo jumla ya kiasi cha Sh
Mil 186,494,890 zimetumika..
chakula katika shule ya sekondari ya Mwika jana wilayani Moshi,Jengo
hilo
limejengwa kwa ufadhili wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kwa
kushirkiana na Halmashauri ya
wilaya ya Moshi pamoja na nguvu za wananchi ,ambapo jumla ya kiasi cha
Sh Mil 186,494,890 zimetumika.kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la
Hifadhi za Taifa (TANAPA) Allan Kijazi
Jengo la Bwalo la Chakula katika shule ya sekondari ya Mwika lililojengwa kwa msaada wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) kwa ushirikiano na Halmashauri ya wilaya ya Moshi pamoja na wananchi .
Na Dixon Busagaga wa Michzu Blog ,Kanda ya Kaskazini.
0 Comments