


Mkurugenzi wa Utalii wa Shirika la Hifadhi za Taifa
nchini(TANAPA) akizungumza na waandishi wa habari juu ya faida za utalii
zitakazotokana na kukua usafiri wa anga nchini.


wa kitengo cha usalama wa Shirika la ndege Tanzania (ATCL) ,John Chaggu akijiandaa kuingia ndani ya
ndege kwa ajili ya kuendelea na ukaguzi katika viwanja vingine nchini ambavyo ndege hiyo itatoa huduma.
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
0 Comments