Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akisalimiana na Balozi wa Kenya katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Chirau Ali M​w​akwere alipofika Ikulu Mjini Unguja leo.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (kulia) akizungumza na Balozi wa Kenya katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Chirau Ali M​w​akwere alipofika Ikulu Mjini Unguja leo. Picha na Ikulu, Zanzibar.