Rais Mteule wa Marekani, Donard Trump akiwahutubia wananchi wa Marekani muda mfupi baada ya kutangazwa mshindi wa kiti hicho, mapema leo. Trump anakuwa Rais wa 45 wa nchi hiyo akitokea chama cha Republican. Kulia kwake ni aliekuwa mgombea mwenza wake, Mike Pence na kushoto kwake ni Mtoto wake, Barron Trump.