Rais John Magufuli akimkabidhi zawadi Mfanyakazi Bora wa Bohari ya Dawa (MSD), 2016/2017, Juma Kiongozi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro leo. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kushoto ni  Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama. 






Wafanyakazi wa MSD Kanda ya Kaskazini wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais John Magufuli na viongozi wengine wakati wa maadhimisho hayo.

 
 Mfanyakazi Bora wa Bohari ya Dawa (MSD), 2016/2017, Juma Kiongozi  (katikati), akitoka kupokea zawadi yake.
 Wafanyakazi wa MSD Kanda ya Kaskazini wakiwa tayari 
kwa maandamano.
Maandamano kuelekea jukwaa kuu alipo mgeni rasmi Rais John Magufuli.
(Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)