| Al ustadh Habib akitoa mawaidha kuhusu mfungo wa Ramadhani na akisisitiza mambo ya upendo katika jamii ya mwanadamu na maisha yake ya kila siku. |
| Muda wa Iftari ulipowadia kila mmoja wetu alipata rizik |
| Waumini wakiendelea kupata riziki "Alla Akbar" |
| Na kwa upande wa kina mama "mash'Allah" kila idara ilijipanga vyema katika kuhakikisha watu wote wanapata chakula ipasavyo |
| Big brother Salmin akihakiki chupa zote za vinywaji moto vipo sawasawa "Allah Karim" |
| Azan ilipoadhiniwa kila mmoja alifungulia swaumu yake na kitu alichopenda,pichani mama Denzel akifungua kinywa na juisi"Mash'Allah" |
| Mabinti wa Mol ambao ndio mama zetu wa kesho nao wakiwa pamoja wakisubiri muda wa Iftar "Mash'Allah" |
| Wageni na waumini wakifungua kinywa "Alhamdulillah" |
| Mzee wetu Al-Haj Mzee Bales akipata matunda kama kifungua kichwa chake "Allah Karim" |
| Mama Karim akipata Iftar" Mash' Allah" |
| Ustadhi Nyambi akiendelea kutoa huduma kwa waumini |
| Brother Omar akipata rizik |
| Waumini na watoto wakipata rizik |
| Mash'Allah malaika wa Mungu nao waliojaaliwa kufunga wakipata rizik |
| Uislam na taratibu zake ukichukua nafasi,hapo Waumini wakisubiriana kwenye mstari wa chakula |
| Masha'Alla vijana wakipata Iftar |
| Mume wa Rahma ama Ally van Rahma mwenye kanzu ya bluu akipata Iftar |
| "Allah Karim" waumini wakiendeleza sunna ya Iftar |
| Mash'Allah Mash'Allah |
| Kiungo muhimu Al habib Jamal akifurahia Iftar "Allah Akbar" |
| Mash'Allah |
| Mash'Allah dada yetu kipenzi toka Hasselt pia nae alikuwepo |
| Shekh Yusuf akiweka kipaza sauti sawasawa ili shekh Abdallah aweze kuchangia mawili matatu kwenye mawaidha ya Ramadhani hapo jana |
0 Comments