Bwana harusi Mr Isack Kimambo akimshika mkono mkewe Bi Luvah kwenda kumtambulisha rasmi kwa wazee wake.Harusi hii ilifungwa siku ya jumamosi tarehe 01.07.2017 katika kanisa la pentekoste Tanzania{KLPT}Tegeta jijini Dar es Salaam.

Bwana Harusi Mr Isack akiwa na ndugu na jamaa zake wakiopendezesha harusi yake na mkewe Bi Luvah

Huu ndio ushahidi kwamba hawa ni Mr & Mrs Isack wakionyesha pete zao za harusi ambazo walivalishana kufungana pingu za maisha.

Bi harusi Mrs  Luvah Isack akisindikizwa na mumewe kupeleka keki kwa upande wa wakwe zake

Mrs Isack akiwa katika ubora wake...