Al ustadhi Abdulhalim akisoma Quran tukufu katika ufunguzi wa wanafunzi wa chuo chao cha Taqwa Antwerpen.


Kiongozi kwa upande wa kina mama kwa kitongoji cha Antwerpen dada Ummy katikati akiwa na mama Beyonce

Al ustadhi Hassan akitoa mawaidha na ukumbusho juu ya suala la Eid

Mzee Mosi akiwa na ustadhi Man wakifutilia ratiba ya shughuli

Madada zetu nao walikuwepo kwenye shughuli za Eid hapo jana

Bidada na mtoto wakiwa wametulia vizuri kabisaa kufutailia shughuli na utaratibu mzima unavyokwenda

Hijab ikifungwa vizuri huwa haimkatai mtu,mashallah wasichana wa kiislam walipendeza

Pichani msichana mdogo anayejulikana kwa jina la Beyonce akitokwa na machozi baada ya kusoma maneno matukufu ya Quran..Allah amuongoze vyema katika suala zima la dini In sha Allah

Wanafunzi na Mwalimu wao katikati wa Madrassat Taqwa wakisoma Qasweeda{Picha zote na maelezo kutoka Maganga One} 

Makamanda nao hawakubaki nyuma kunasa matukio..

Madrassat Taqwa nayo ikifanya yao

Mke wa Super star wa Tanzania anajulikana kwa jina la Rahma Manara

Muda wa maakuli ulipowadia kwa upande wa kina dada mambo yalikuwa hivii{Picha zote na maelezo kutoka Maganga One}


Na kwa upande wa kina baba nao hapakuharibika kitu

Dada wangu wa ukweli Faudhia nae akiwa makini kabisaa

Mwalim wa Madrassat Taqwa bi Sabah akipata sunna ya mtume

Kikosi kazi ambacho nacho kilihakikisha mambo yanakwenda mswano

Baba Hajra akitoa shukrani kwa wageni waalikwa 

Shekh Omary akitabasamu kuashiria Amani

Dada Ummy akitoa shukrani za dhati kwa kila mmoja aliyefanikisha shughuli nzima na kwa kila mgeni aliyehudhuria ukumbini hapo{picha zote na maelezo kutoka Maganga One}

Dada langu la ukweli mama Mubinnah akiwa makini kusikiliza mawaidha
Mama na wana wakipozi vizuri kabisaa
La familia
Ustadh Sudees akiisoma Quran kwa umakini mkubwa,kijana huyu nae ni kutoka madrasat Taqwa kilichopo Antwerpen
Masha'Allah mambo yalikwenda vyema kabisaa.
{Picha zote na maelezo kutoka Maganga One}

Mr & Mrs Rasheed wakiwa na furaha baada ya shughuli kuisha salama.