Mh:Balozi Joseph Edward Sokoine

TANGAZO
Kwa watanzania wote wanaoishi nchini Ubelgiji na vitongoji vyake wanaarifiwa kuwa tarehe 27.01.2018 siku ya jumamosi saa nane kamili mchana katika mji wa Antwerpen Mh:Balozi Sokoine atakutana na watanzania wote ili kusikiliza kero,matatizo,ushauri na mengineyo.Kila mmoja ni fursa yake kufika kwenye mkutano huu ili kusikiliza na kutoa mchango wake wa mawazo aliyonayo.Mahala pa mkutano ni ukumbi wa Gemeente  Luchtbal Antwerpen.
Kufika kwako kutasaidia sana mchango wa Taifa.Yeyote atakayeliona tangazo hili tafadhali tusaidie ku'share na wengine walione ili waweze kufika katika mkutano huu.