Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Shinyanga Mjini Mkoani Shinyanga amemtangaza Patrobas Katambi wa CCM kuwa Mshindi wa kiti cha Ubunge Shinyanga Mjini.

Kura zilizopigwa 50,453
Kura halali 49,688
Kura zilizokataliwa 765
Patrobas Katambi (CCM) 31,831

Salome Makamba (Chadema) 16,608.