Vijana nadhifu,waadilifu na nadhifu kabisaa wakiwa tayari kusaidia maandalizi ya chakula cha cha Iftar hapo jana.Futar hii ambayo watu walikusanyika kwa pamoja baada ya mualiko kutoka kwa Shekh Yusuf na mkewe Khasser Ntini kufanya sadaka hiyo hapo jana.


Kwa upande wa kina baba nao walishiriki vyema katika kupata sadaka ya Iftar hapo jana

Mama Sara na Sara nao walikuwepo katika sadaka ya Iftar iliyoandaliwa na Shekh Yusuf na Mkewe Khasser

Mama Nasrine nae alikuwepo katika sadaka ya Iftar hapo jana


Kijana Mansoor akiwa na mama yake nao walikuwepo kupata sadaka ya Iftar iliyoandaliwa na Shekh Yusuf na mkewe

Vijana kazi ambao walifanya kazi vyema kabisaa

Kina mama wakiendelea kupata Iftar

Muda wa Iftar na kina mama wakiendelea kupata sadaka

Mama Beyonce na watoto wake pia walikuwepo

Mama Husna akipata huduma stahiki kutoka kwa Ally Mlangi 

Mama Cauthal akiwa na binti zake pia nao walikuwepo

Mtaalamu wa misitu Kamanda wa makamanda akitoa huduma kwa ndugu Gebo hapo jana

Mama Nusayr akipata sadaka iliyoandaliwa na Shekh Yusuf na mkewe hapo jana

Gebo na kijana wake Msham wakipata sadaka ya Iftar 

Kina baba wakiendelea kupata sadaka

Eddy wa Mol akishiriki vyema katika kupata Iftar hapo jana


Kwa upande wa kina baba nao wakiendelea kupata Sadaka

Kina baba wakifuturu
Dada yetu kipenzi chetu Khasser akiingia ukumbini muda mfupi kabla ya Futar kuanza
Ally akisamdia dada yetu kupata chai
Kwa upande wa kina mama wakipata Iftar

Kina baba wakipata Iftar

Kamanda akisoma dua kabla ya kuanza kula
Shekh Yusuf akitabasamu huku akiendelea kuweka mambo sawa hapo jana katika Iftar ambayo aliianda jana yeye na mkewe na kuwakaribisha ndugu,jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbali.
Abdul akipata Iftar
Team Antwerpen katika ubora wao.

Shukrani.
Maganga One team inatoa shukrani za dhati kwa Familia ya Yusuf na mkewe Khasser kwa mualiko wa Iftar hapo jana,Allah atawalipa kwa sadaka yenu.